Комментарии:
Mashallah kipindi kilikuwa hot sheikh katoa dawa kwa kugusia gusia tu ila jumbe zake zilikuwa kubwa tusome jamani tusifate mikumbo maana starehe tunafanya zahir ila tobaa mtu anafanya peke yake sasa ww endelea kufata watu
ОтветитьMansh Allah 🥰
ОтветитьAhsante shekhe ahsante salama Mungu awabariki
ОтветитьI love you salama nakuombea uendelee na hijabu umependeza sana shukran maridhiya kwani sasa malaika wanahudhuria ❤🙏
ОтветитьUmenenepa
ОтветитьHivi salama kwanini kizungu kingi kuliko kiswahili.. OK nataka kujua na wenye lugha ya english huwa wanaongea lugha za wengin kwenye mahojiano ya nchi yao? Au huwa wanaongea kiswahili?
ОтветитьUlimi umeteleza,zaidi ya mke mmoja
ОтветитьNi kinolewacho hupata si hukata
ОтветитьUmeona ametokea unguja ndio maana umevaa shunngi..... ubaguzi huo, maana kipozeo alikuja hapo na hukuvaa. Fanya kwa ajili ya ALLAH
ОтветитьMashaallah sheikh umeanzanza vizur umeongea vizur.
ОтветитьMashaallah mko vizuri
ОтветитьMashaa Allah Salama umependeza sana. Ila sheikh fupisha maneno kaa!
ОтветитьNi zahiri sisi viumbe tunaheshimu binaadamu wenzetu na wala hatumuheshimu muumba mbingu na ardhi kustiri kichwa kwa muislamu wa kike ni wajibu wake wakati wowote anapokuwepo na watu wengine leo hii stara ya kuchwa tunaifanyia maonyesho na kuzihirisha kuwa ni jambo la tabaka fulani
Ni msiba mkubwa
Ila Mardhyya🤭🤭🤣🤣🤣
ОтветитьShukran sana Sheikh… Hakika tumeletwa hapa duniani ili TUENJOY🔥🔥🔥🔥🔥
ОтветитьPamoja na kwamba mimi binabsi nakukubali ila sio lazima shekh Salim Kila mtu akukubali wewe sio nabii ishi humo kaka.
ОтветитьYaani katika interview zote leo nakupa big up salama kwanza umependeza Alhamdulillah. Nakuombea kwa Allah uongofu zaidi uzidi kuvaa ushungi. Masha Allah.
ОтветитьSalama umependeza sana umependeza mungu na sisi
ОтветитьMasha'Allah Tabaraka'Allah
ОтветитьHongera salama hijabu ndo vazi bora kwako Allah akulinde ameen
ОтветитьMasha Allah
ОтветитьNaomba kuuliza hivi kimaadili inasihi kutumia neno "Malaya" hadharani? pili hongera sana Salama hakika kipindi unakinogesha kwa hayo maneno yako unayochomekea eti "uwanja wa fisi"
ОтветитьKweli umependeza sana na mjitandio MANSHALLAH 😍🤩
ОтветитьSalam kiukwel uko vizuli san endelea kuvaa jabu umependeza san
ОтветитьSalama wewe ni mke mwema
ОтветитьSalama tafadhali tuleteeni SHEIKH MUHIDDIN MAALIM SIASA NA SABRA MACHANO WA ZANZIBAR🙏
ОтветитьSubhanallah
ОтветитьSasa umependeza sana mashah
ОтветитьSmart woman
ОтветитьBuibui linakupendezaaa bibie lkn ukikaa kichwa wazi ni tafran
ОтветитьMashaallah tunajifunza ,asante sana salama kwa kutuletea mtu wa kutupa masomo mazuri ya dini
ОтветитьMashaAllah barakallah
ОтветитьAllah akuhidi uongoze uislam insh
Salama
Salama umependeza sana na shungi
ОтветитьSh Mardhia Allah akujaalie kheri kwanza kabla ya kuanza mazungumzo ukamwambia Salama avae mtandio na yy pia Allah amuongoze akipende kivazi hicho Cha stara
ОтветитьMashaa Allah Hii Kali Kuliko show zote Big Up Siz Salama Allah zaidi🙏🙏🙏👌👌👌👌
Ответитьasee nafikiria kubadili dini niwe muislam....yani katika uislam kila amri ina faida katika maisha
ОтветитьMashallah nimepata dawaaaa kubwa sna
ОтветитьMasha Alla shekhe mardhiya tumenufaika mengi na salama uendelee kuvaa shungi inshallah
ОтветитьZaidi ya wanne????
ОтветитьKo wanaume wana mbavu 13😂😂 ?????
ОтветитьMaashaAllah salama tunaomba uwe unajistiri namna hiyo unapendeza sana Allah akuwafikishe
ОтветитьHahah Salama wewe Msela I wish one time nikutane na wewe , Maana huwa na cheka sana kwa kituko vyako vya ucheshi
ОтветитьUmependeza sana leyo salama
ОтветитьTuna muomba adili chapakazi ... Kwenye salama na plz mamdogo
ОтветитьDada salaam ungejua unavaa hvo hvo kila siku.aiseee
ОтветитьShekhe katish🥰
ОтветитьNinamuomba sana allah dada salama akuongoze sana undelee kuvaaa ivo ivo ushungi
ОтветитьMwaka 1994 ndo nimezaliwa Mimi kumbe umetoka mbqli
Ответитьnzuri inamafunzo
Ответить