Комментарии:
Mashaallah namkubali sana Dr Sule
ОтветитьSWADAKTAA KABISA HAKUNA KAMA DUA....
ОтветитьInnalilah wainna ilaih rajiun kuna waislam wanalala njaa nyinyi mnasifiana magari allah amekupwni mtihani
ОтветитьAmakwel dunyaa lmeishaa watu tunavyopenda duniyan mh mthan Allah atuongoz
ОтветитьAmakwel dunyaa lmeishaa watu tunavyopenda duniyan mh mthan Allah atuongoz
ОтветитьNikweli dua muhimu,Mungu anapendwakuombwa,Shukran Shekh
ОтветитьKaongea sahii
ОтветитьDk sule ..Ile haberl yako Arusha vipi ...unafanya biashara
ОтветитьTaja Mali zako usitaje za mwenzio dawa mnauza dua anauza tena kwa pesa nyingi
ОтветитьHawa Masheikh sio hasa maana maneno yake yamenivunja moyo. Dua pekee sio mtaji Imani na lilahi ndio ufunguo kama dua ninmtaji basi wengi wangeomba wote wakapata. Imani huna utainua mikongo muombe Mingu akupe gari?
ОтветитьAllahu akbar ❤❤❤❤
ОтветитьAmeen thuma ameen ❤❤❤❤
Ответитьإنا لله وإنا إليه راجعون
Shetani akitaka kumpoteza mwanadamu anatumia kila mbinu.
Nyinyi hamna cha kuzungumza Ila hilo??
Kuna mengi y kuwambia watu,huo ndo mwenendo wa Mtume??
Au maswahaba??
قال الله جل وعلى(وتحبون المال حبا جما)
احذروا الدنيا..
قال رسول الله (ص)(فوا الله ما الفقر أخشى عليكم ولكني أخشى أن تبسط الدنيا عليكم كما بسطت على من كان قبلكم فتنافسوها كما تنافسوها فتهلككم كما أهلكتهم)
Nyinyi mwasema hamufanyi kazi ..Sasa kama hamufanyi kazi mwapata vipi pesa...walhy masheikh watanzania aslimia 99 Ni matapeli .. waizi.... elimu munayo kweli but udaganyifu ndio uko mbele....group moja tu Hawa wote Kina Yusuf diwani athman Michel , Kuna sheikh akijiita Dr nakshabandii....Hawa Na wengine wote matapeli. Wachukua pesa za watu hakuna kazi wanifanya. Dawa zao ghali...
ОтветитьDaaa hayo ndo mawaiza hajui huo utajir ni mtihan kwa Allah binadam msipende Dunia kiasi hicho
ОтветитьMashekh duwa mnauza ghali mnoo madawa mnauza ghali mnoo inafkia maghali baadhi ya mashekh wanaringa utafkiri wao ndo wanaoponya kumbe ni mungu
ОтветитьImethibiti katika Hadith ya mtume صلى الله عليه وسلم kwamba hakuna nabii yeyote aliyetumwa na Allah ila alikuwa akichunga mbuzi, akaulizwa: kwani hata wewe ulichunga? Akasema: ndiyo.
Alikuwa anachunga mbuzi wa watu wa makka na kupewa ujira ambao alikuwa akiutumia katika mahitaji yake ya maisha ya duniani.
Hawa wasiwadanganye waisilamu, bali muisilamu unatakiwa kuomba Dua huku ukifanya kazi na Ibada zingine, halafu pia mtu kukosa sio jambo la kumsimanga mtu kwa sababu Allah mwenyewe kashasema kwenye kitabu chake kitukufu:
وَٱللَّهُ فَضَّلَ بَعۡضَكُمۡ عَلَىٰ بَعۡضࣲ فِی ٱلرِّزۡقِۚ﴾ [النحل ٧١].
Na Allah amewafadhilisha baadhi yeni juu ya baadhi nyingine katika rizki.
Wapo ambao ni matajiri, na wapo ambao ni masikini,na wapo ambao ni wamiliki, na wapo ambao ni mamluki.
اللهم اهدنا إلى سواء الصراط.
Doctor sule umedhulumu waislamu wengi sana historyia yako inajulikana mm nakumbuka pemba alikuja kuchangisha msikiti zikamapatikana milioni 9 bc akapewa laki tano akakataa akasema zigaiwe sawa sawa
ОтветитьUstadh unauzaa dawa
ОтветитьMashekhe sadaka zinatusababisha tulio nahali ngum kushindwa walau sadaka ziwe chin kidogo
Ответить