Комментарии:
first comments
ОтветитьThe number one presenter 😊
ОтветитьFrom 254🇰🇪🇰🇪
ОтветитьRecap nzuri sana 👍
ОтветитьI see 👀 like ZUHURA YUNUSI 🙌🏽👍🏼🩵
ОтветитьThis season was lit my sister, The guests were amazing yaani kiufupi umeupiga mwingi sana msimu huu, Mapungufu yapo machache sana ukilinganisha na season zilizopita ila tuseme tu ukweli yaani tumevuna madini sana kwenye huu msimu. My top three episodes ni
1. Adamu Mchomvu jamaa aliupiga mwingi sana
2. Top In Dar (TID) Hii ilikua best sana
3. Hapa Mchungaji Hananja na DJ Ally B Hawa watu walitupa comedy lakini yenye ujumbe mzito sana
Hopefully tutakua na msimu bora zaidi ujao,
Very Smart Thanks 😊
Ответитьmillard ayo anakuja lini?
ОтветитьCreativity Dada 👏👏🎉
ОтветитьWe need to hear fredy vunja Bei story
ОтветитьSalama apewe maua yake anaupiga mwingi sana 💥🔥💯hakuna show yake hata moja nimeikosa
ОтветитьFanya uolewe mama angu Salama na sisi wanao wengine tupate wadogo zetu
ОтветитьYa Rose Muhando🙌🏿
ОтветитьSalama kuna huyu kijana anaitwa Diana Chando. Tunaomba mtupe uwanja wakumjua anawakilisha taifa kwenye ngazi za juu sana kwa marais mbalimbali. Watu kama sisi tunatamani kujua safari yake. Muiteni uwanjani
ОтветитьSalama mbona hamna episode mpya hivi recently
Ответить