Комментарии:
haya bhana Lema😂
ОтветитьUu niudhirisho tosha wewe Mwenyekiti taifa u mtu wa upekee katika siasa tanzania, akuna mtu kama wewe na wandamizi wako: Lissu, Peter Msigwa, Heche, Lema, sugu, John Mnyika, excellence MWALIMU salim etc...
ОтветитьDemonstration ya kumtambulisha Maimuna na kuomba radhi humility yako u mtu wa upekee ndivyo siasa uitaji, kujishusha....
ОтветитьNani kama wewe kisiasa mwalimu wangu wa siasa?
ОтветитьAwamu hii tutafanya maamuzi magum maana ugumu wa maisha unaosababishwa na Hawa jembe na nyundo utatupa ujasili
ОтветитьMtu wa Camera hujitambui kbs baada utumie fulsa ya kuwaonyesha watu walionyoosha mikoni kuashilia ccm hapiti bado unamchukua LEMA kweli kazi zinawenyewe😂😂
ОтветитьWananchi amkeni tuungane tuunganishe nguvu zetu pamoja tudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi! Ccm imefika mwisho ife kama inavyoua vyama vingine na wengine!
ОтветитьBig up chadema.
ОтветитьNikweli kbsa mkuu ila kinacho niuma ni nikuhusu kodi ya aridhi nawakati ni mali pekee ya urithi wa mtanziania inakuaje alipie kodi ,maana halisi kuwa aridhi sio mali yetu ndomana tunalipia sasa urithi wetu upo wapi ? Tunapo lipa kodi ya aridhi au jengo inamaana sisi ni wapangaji ukweli hili waliangalie kwa umakin mkubwa hatawezi kuishi kama wapangaji nawakati ni mali yetu halal inakuaje tuilipie?
Ответить