Комментарии:
FIDDA HUZSEIN NI JAMBAZI MKUBWA WA MAJUMBA YA WATU
Ответить❤❤❤mheshimiwa Slaa
ОтветитьMama kapata waziri
ОтветитьHongera sana muh waziri Kwa kazi unayoifanya
ОтветитьHili jambo limeshamiri baba tusaidiwe,mtu anajenga kimakusudi kabisa kwenye eneo la mtu.
ОтветитьNjoo na Kibamba Hondogo waziri...ni shidaaa!
ОтветитьUbarikiwe mweshimiwa Jerry waziri wa ardhi
ОтветитьDhuruma n laana
ОтветитьSafi
ОтветитьWaziri hayo.madole jaribu kuyadhibiti
ОтветитьNa hayo.makampuni. yanayouzwa.bq makmpuninhukomcganikq.na.mqjumbq hilo.linasemewaje
ОтветитьHuyu jamaa aliwahi mnyang'anya mwalimu na kajenga ghorofa. Ana uwezo hadi wa kumteka mmiliki na kumtishia maisha ili achieve eneo analolitaka. Aliwahi kuwa afisa ardhi na alipoacha kamuacha dada yake pale anayemtengenezea makabrasha kwa ajili ya kudhulumu. Polisi ni rafikize.
ОтветитьUje na kigambon
ОтветитьHongera waziri unapambana ki ukweli mungu akulinde na matapeli wanaotudhumu wanyonge na wenye nguvu wa kifedha ki serikali na ki nguvu
ОтветитьJerry moja kati ya vijana wazalendo katika Taifa letu MUNGU akulinde kijana wetu
ОтветитьJerry slaa kiongozi bora wa ardhi, mabula hii wizara ilimshinda!
Ответить