UKIUZIWA NYUMBA AU KIWANJA NA HUYU JAMAA UMEKWISHA, SASA ANASAKWA NA SERIKALI

UKIUZIWA NYUMBA AU KIWANJA NA HUYU JAMAA UMEKWISHA, SASA ANASAKWA NA SERIKALI

PMTV TANZANIA

4 месяца назад

13,528 Просмотров

JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 https://pmbet.co.tz/en/auth/signup?utm_source=Youtube_pmtv&utm_medium=Video&utm_campaign=registrations

NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA TOYOTA HARRIER NA NISSAN X-TRAIL

TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
INSTAGRAM @pmtvtz
TWITTER @Pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv
Ссылки и html тэги не поддерживаются


Комментарии:

@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s - 10.03.2024 11:31

FIDDA HUZSEIN NI JAMBAZI MKUBWA WA MAJUMBA YA WATU

Ответить
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 - 09.03.2024 19:12

❤❤❤mheshimiwa Slaa

Ответить
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward - 01.03.2024 10:22

Mama kapata waziri

Ответить
@RahimLipala-tl9gw
@RahimLipala-tl9gw - 29.02.2024 21:19

Hongera sana muh waziri Kwa kazi unayoifanya

Ответить
@maswamills3161
@maswamills3161 - 29.02.2024 13:20

Hili jambo limeshamiri baba tusaidiwe,mtu anajenga kimakusudi kabisa kwenye eneo la mtu.

Ответить
@victoriarwerengera4831
@victoriarwerengera4831 - 28.02.2024 12:10

Njoo na Kibamba Hondogo waziri...ni shidaaa!

Ответить
@thomastemu3332
@thomastemu3332 - 28.02.2024 01:32

Ubarikiwe mweshimiwa Jerry waziri wa ardhi

Ответить
@medsonulendo4221
@medsonulendo4221 - 27.02.2024 06:24

Dhuruma n laana

Ответить
@bushirially2077
@bushirially2077 - 26.02.2024 13:28

Safi

Ответить
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula - 25.02.2024 16:40

Waziri hayo.madole jaribu kuyadhibiti

Ответить
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula - 25.02.2024 16:38

Na hayo.makampuni. yanayouzwa.bq makmpuninhukomcganikq.na.mqjumbq hilo.linasemewaje

Ответить
@mlugekarol2688
@mlugekarol2688 - 25.02.2024 14:45

Huyu jamaa aliwahi mnyang'anya mwalimu na kajenga ghorofa. Ana uwezo hadi wa kumteka mmiliki na kumtishia maisha ili achieve eneo analolitaka. Aliwahi kuwa afisa ardhi na alipoacha kamuacha dada yake pale anayemtengenezea makabrasha kwa ajili ya kudhulumu. Polisi ni rafikize.

Ответить
@charlesmgula9592
@charlesmgula9592 - 25.02.2024 07:16

Uje na kigambon

Ответить
@bongo39
@bongo39 - 25.02.2024 06:09

Hongera waziri unapambana ki ukweli mungu akulinde na matapeli wanaotudhumu wanyonge na wenye nguvu wa kifedha ki serikali na ki nguvu

Ответить
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 - 25.02.2024 01:59

Jerry moja kati ya vijana wazalendo katika Taifa letu MUNGU akulinde kijana wetu

Ответить
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 - 23.02.2024 15:18

Jerry slaa kiongozi bora wa ardhi, mabula hii wizara ilimshinda!

Ответить