Комментарии:
Big up sister nakukubal
ОтветитьKei hujaorewa
ОтветитьSafi sana Kay,nlikuchukulia poa sana kumbe uko vzr upstairs.
ОтветитьNatumai mko njema watanzania wote,mmi pia nko njema tu hpa 🇰🇪,ila nko na ombi taf.
Endapo kna mtazamaji ambae ako namba ya k mziwanda,taf anipatie....
Huyu sister namkubaligi saana japo mi ni shabiki ya yanga ana IQ kubwa saana pia hapendi unafki.
ОтветитьMziwanda anae wauwa wachezaji wa simba ni manara kumbuka kuna mzee aliwai rusha Crip akisema manara wakati yuko simba yanga wakisajili wanachukua majina ya wachezaji wa yanga wanaenda kwa mganga kisarawe yanatiwa kwenye chupa wanakwenda tupa baharini wa chezaji wanakuwa magarasa kwahiyo viongozi waende kwa wazee wa simba isomwe hata arbadili jamani tumechoka kutukanwa
ОтветитьBig up k
ОтветитьBig up k
ОтветитьBaada ya kuhoji Mambo ya pira unahoji mapenzi!?? Hayo mtafute nje ya Media brother!
Ответитьhongera san wanalunyasi simba❤
ОтветитьKweli yani m nilikua source ila daaha mke wangu mtarajiwa unamambo mengi saana..Hadi umenikela
ОтветитьSijaielewa hii interview!! Kuna aliyeielewa?
Ответить,😂😂😂😂 nampenda sana huyu Dada ❤❤❤
ОтветитьKweli mziwanda Nigeria hatuna historian nao nzuri kama Uganda' kenyan na kuolewa
ОтветитьWewe dogo umeadimika sana wewe?
ОтветитьHuwa namkubali sana huyo dada,, sina hela ila nkionana nae nitampa hela kushow love kwake.
ОтветитьNimemkubali sana huyu Dada, kaongea facts. Wadada halisi huwa hawali sana ila wanavaa sana. Hivyo amekidhi kuwa msichana halisi. Big up K Mziwanda.
ОтветитьSister Yuko real sana aisee namkubari sana anasema ukweli hapendi kujikweza sana😂😂
ОтветитьSasa utazeeka nyumbani maana hadi 2030 ndo simba itaenda club bingwa😂😂😂
ОтветитьKey mpuuz sana et napenda wakinisema vibaya 😂😂😂sasa una enjoy vip😂na matusi 😂😂😂❤
Ответить🎉🎉
ОтветитьKay mm mwenyewe napenda sanaaaaa kusemwa
ОтветитьMm dada yangu utaolewa na kisugu au mzaramu ndio mtawezena ky mziwanda ndoa tanga kwenu
ОтветитьKy umepoteya san dda❤❤❤
ОтветитьKy uko vzr❤🎉
ОтветитьKumbe uyu ni dada ,mimi toka nianze kuona interview zake ni likua nafikiri ni wakiume
ОтветитьNawatakia Simba mazowezi uko misiri
Ответить❤❤❤❤sarut
ОтветитьHongera dadaangu ❤❤❤❤❤ukosawa
Ответить