Комментарии:
MH bilye oyekomile
Ответить😂😂😂😂🙄😝😝
ОтветитьASTAGHFIRU'LLAH
ОтветитьMuandishi andika vizuri usipotoshe
Ответитьjamani maelezo mbona tofauti na heading HAIPENDEZI
ОтветитьRiyadh
Angalieni izo clip fupifupi mnazipa headlines za kiudaku,,
Hata jana kimoja mlikifuta kumhusu sh.Farid
Yaani munajiachiia....
Munaudhi
Riiiiiir bbbbb RIiiiib bbbb
ОтветитьUyu Mzee hastahik kuzungumzaa kwenye dini Yani nichengaa Sana akiri yake haiko Sawa ana maneno machafu Sana...!! Allah amuongoze yeye nasi pia
ОтветитьAstaghfirullah! Sasa hapo ni Msikiti au kwenye baraza la kahawa!?
ОтветитьMashaAllah shukran sheikh
ОтветитьSheikh yupo Sahihi Katika kutoa Daawa Msimzihaki mbona hamsimami nyinyi Kutoa Hayo.masafi
ОтветитьSheikh me nakuelewa sana Allah akuhifadh
ОтветитьShehk samahani ungepunguza nywele ingekua vyema zaidi
ОтветитьHizi kucha ni vipi ?au nyinyi hamuoni?
Kama zinaruhusiwa tuambieni..
Anyoe midevu huyo uchafu mtupu
Ответитьdah hatari hiyo 😓😓
ОтветитьHuenda ikiwakweli Yale manenotunayosikia kua hua anatumia ganja
ОтветитьAsman mallma
Ответить😃😃😃 wallah si ya kucheka
ОтветитьMASHALLAH
ОтветитьKucha za nini shekh hizo
ОтветитьKwaiyo wee mwanachuoni auu ?.
ОтветитьSheikh wangu taratibu ukitoa mawaidha usihadithie na action km hivo mpk waskilizaji zikaja hisia nyengine.wewe zungumza tu km aliwakuta wako ktk kitendo cha jimai akampiga shoka ingefahamika .nisamehe iwapo nimekosea.
ОтветитьAllah atustiri Mana hakuna aijuae kesho yake
ОтветитьEheheh sheik una vituko kweli bwana wallah.. raha. Mashaallah
Ответить🤣🤣🤣🤣🤣 hapa simfaidi nitamfata kwake kabisa
ОтветитьShekhe huyu anapenda matusi
ОтветитьMtihan
ОтветитьEti wanazuoni kwa io wewe mwanazuoni?
ОтветитьAllah Subhaanahu Wataala atujaalie mwisho mwema
Amin Amin Amin
Mbona hana kosa alitenda jambo la hasira na akatoa adhabu stahiki ?
Ответить🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ОтветитьMaashallah Allah bark
ОтветитьMaashaalaah
ОтветитьShekh msabaha
ОтветитьAssalamu alaykum, nduguzangu munaorikodi Darsa za shekh Salum Msabbah pamoja na Darsa za mashekh wengine kwajumla tunakuombeni mutuwekee namba ktkt masomo ilitujue kwamba hii ni Darsa nambangapi,
ОтветитьNyie munomdhihaki shekh kwa kusema anafuga kucha hamjasoma dini sawa sawa nioneshe andiko gani linalosema muislamu kufuga kucha haramu acheni kuzuwa mambo bwana weye una mangapi yamesemwa yako ingelikuwa ni haramu hata nywele tusingeingia miskitini na nywele kubwa ........
Hemu tusomeni bwana tujue
Kasome kitabu cha Abdul kaadir jaylaani al ghunia swahfa 35 utaona kama haramu aw halali
ОтветитьDah jamani duniani kuna mengi!! Allah atusitiri!!
ОтветитьMtihan mkubwa jaman
Ответить😂😂😂😂😂😂😂😂😂 🤣 myashidwa
ОтветитьUkaha a nihatari shehe
ОтветитьMpuuzi huyu anahalalisha hadi miziki
Tena anaimba kabisa nyimbo ya feruzi - starehe
Tatizo anafikri akizungumza uchafu ndio atapata wateja. Hawa ndio wanaoichafua dini ya kışlamı. Dini ya kiislamu ni nadhwifu na ina hayaaa sasa yeye SALİM MSABBAH amesoma wapi haya. Mtume SAW ndio alivyokuwa akiwaaidh watu hivi
ОтветитьShekh Salum Msabah mimi nikiona post zako sizipiti ivi ivi mpaka nisikilize mawaidha yako yenye kina kirefu cha kuelimisha,, Allah akupe mwisho mwema inshaallah.
Ответить