Комментарии:
Kwani amekosea nn ? Na kama amekosea nisawa2 hakuna binadamu aliyekamilika ata kama ametembea na mke wa mtu siyo kwa mateso hayo kikubwa Mungu amemufunika mpaka sasa yuko hai Mungu ataponya
Ответитьnimesoma comment nimegundua kuna watu wengi wanaoishi ukanda wa mbezi wanatoweka na hawajulikani walipo...Tatizo ni nini
ОтветитьHuyo due aliepatikana katupwa msituni huko Arusha?
Kama alitekwa vile kutoka Dar?
Mmm yaan inaumiza sana
ОтветитьTanzania na watu wasiojulikana nchi ya mama Samia kwanini Hilo?
ОтветитьYani inaumiza sana
ОтветитьNchi hii daah😢 mambo haya yana rudi sasa 😢
ОтветитьOy wazee mm nina shida na uyoo jamaa anae hojiwa hapo Taivana mc ... Anajulikana vipi kwa social medias
ОтветитьDah J polen sana mwanangu
ОтветитьHivi hi sehemu anayoishi usiku anarudi vipi?mmmh
ОтветитьMmmhh
ОтветитьTAIVINA I SEE U
ОтветитьKikubwa amepatika
Ответить𝗠𝗶𝗺𝗶 𝗽𝗶𝗮 𝗻𝗶𝗺𝗲𝗺𝗽𝗼𝘁𝗲𝘇𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗬𝗮𝗻𝗴𝘂 𝘆𝗮𝗮𝗻 𝗔𝗺𝗲𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗮𝗻𝗮𝗲𝗹𝗲𝗸𝗲𝗮 𝗸𝗮𝘇𝗶𝗻𝗶 𝗔𝗺𝗲𝗮𝗴𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮 𝗺𝗸𝗲 𝘄𝗮𝗸𝗲 𝘃𝗶𝘇𝘂𝗿𝗶 𝗷𝗶𝗼𝗻 𝗠𝗱𝗮 𝘄𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗼𝗸𝗮 𝗸𝗮𝘇𝗶𝗻𝗶 𝗝𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗵𝗮𝗸𝘂𝗼𝗻𝗲𝗸𝗮𝗻𝗮 𝗠𝗮𝘇𝗶𝗺𝗮 𝗮𝗱𝗶 𝗟𝗲𝗼 𝗺𝗶𝗮𝗸𝗮 𝘇𝗮𝗶𝗱𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗶𝗻𝗻𝗲
ОтветитьGet well soon broh
ОтветитьMAMBO YA MATUSI AYO SIO MAZULI JAMANI😂
ОтветитьTwo years back nilikuwa nafanya nae mazoezi mkwajuni
But Leo hii inauma sana kusikia tarifaa hii😢
Allah amfanyie uwepesi
Miradiayo, nami Nina taarifa hapa naomba mnisaidie kunipazia sauti! Nimetafuta namba zenu nikazikosa, Niko mwanza!
ОтветитьDar napaogopa sana, na ndio nahamishiwa huko kikazi. Da!
ОтветитьPost yake ya mwisho imemponza
ОтветитьKwaiyo Mama nae ameamua atuteke sio.. 🙄🙄
ОтветитьKuna video imewekwa kwenye akaunt ya samsago inaonyesha kaonekana huyo SATIVA, kaonekana Katavi, ila amepigwa sana, wanaemfaham kwa sana watembelee akaunt ya samsago.
ОтветитьTaivina,sativa na sadati,,,hizi AKA kulikoni
ОтветитьKapatikana katavi yu Hoi 🙌🙌🙌
ОтветитьAmepatikana kapigwa sana Mungu amsaudie apone😢
ОтветитьDaaah huyu ndorafiki wa kweli
ОтветитьDogo amepatikana leo ila kaumia
ОтветитьUenda amegogwa na Gari jamani Mara nyingine inatokeq mtu kagigwa vibaya mpaka ajulikani Mungu
ОтветитьJamaa kapitikana ila wamempiga sana 😢
ОтветитьTunamshukuru Mungu Amepatkana salama ila amepigwa vbaya sana 😢😢
Sa iv dar imebadilika imekua ya kutekana kuuwana Kila sku inahuzunisha sana
Ukisoma ripoti za haki za binadam kuhusu Tz mmmh sio sehem salama saaana , tena kuna balozi wameanisha maenezo ambayo ni hatari kuishi au kutembelea nyakati za usiku na maeneo ya mbezi , kimara wamejaa watu wa kaskazini kuna matukio ya ujambazi saaana
ОтветитьAu Kuna MTU alipigwa mamillion kwenye betting,,,, akasema sikubari
ОтветитьKumbe hii ya kupotea watu kwenda wasikojulikana bdo ipo??duh!!!!!!!nikajua maguful alikufa nayo
ОтветитьHuyu ndio rafiki wa kweli ❤😊
ОтветитьJeshi la polisi na vyombo vyote vya usalama linajificha hamnazo kila siku watu wanapotea tu
ОтветитьNi hiyo post ya mwisho
ОтветитьHuyo rafiki pia si wa kumuamini wambane tu siri itajulikana. Siku hizi hakuna ndugu wala rafiki wa ukweli ni tamaa kwenda mbele!
ОтветитьKama Gaza
ОтветитьKwanini mtangazaji anamuhoji mtu uku anaangalia pembeni? Naona ni kama dharau hivi!
ОтветитьDah hadi chozi limenitoka 🥺
ОтветитьKina partnership haoo
ОтветитьAu kaenda kenya kwenye maandamano
ОтветитьSubuhanallah. Mtihani
ОтветитьTaivina ni rafiki haswaaa
ОтветитьMwenyewezi Mungu amlinde ,arudi akiwa mzima kabisa
ОтветитьInaumiza sana kiukwel, na mimi nimempoteza ndg yangu hapo hapo dar Mbezi Beach, tokea tarehe 31 ya mwezi wa 3, na had leo hatujafanikiwa kumpata, inaumiza sana kiukweli hili swala. Mungu abarik aonekane na tuwapate ndg zetu wote waliopotea.
ОтветитьMungu Aliye hai amlinde na kumrudisha salama kwa familia yake Katika jina la Yesu! Amen!
ОтветитьUMOJA NI NGUVU KIJANA APATIKANE
KIJANA ASIYEKUWA NA SHIDA NA MTU🙏