Комментарии:
Mwenye kiti naogopa kulala pekeangu😂😂😂😂😂
ОтветитьFemi jaman
ОтветитьMmmh 🙄 sijaielewa vzur labda prt2 yake itakua nzur
ОтветитьHiyo nyimbo ni nyoko umemaliza hii movie.
ОтветитьJamani 2??
Ответить2023 twende saw like ❤️
Ответить:-$
Ответитьmovie nzur sana
Ответить😂😂😂😂😂lado huwa unanipa furaha sana jazba zako
ОтветитьMama kimbo duh
ОтветитьMajeneza 😂😂😂😂
Ответить😂😂😂😂
ОтветитьNimemiss kwetu kuokota kuni
ОтветитьNice
ОтветитьBwana masiku ww 🤣🤣🤣unaogopa kulala pekeako jinsi unavyompenda mkeo paka watu wa tv wanataka kuja kukuhoji 🤣🤣🤣🤣
ОтветитьBongo tabu kweli part 2 vp
ОтветитьNice
ОтветитьInayo fatia
ОтветитьWooow so nice! Part 2 iko wap?
ОтветитьNmeumia sana dah wanawake sisi sio poa jaman maziku ana angaika na mtoto
ОтветитьHivi Mimi nauliza jamani hili swala la kichwa Cha habari kinaandikwa muvi fulani waliochezà mfano unaambiwa kacheza gabo na wema halafu unakuta tofauti jamani ni hii ni haki kweli huu si wizi wa kimtàndao pia mana kiukweli Mimi hili swala linauma Sana
ОтветитьJ
ОтветитьHeti we mwanadume waogopa kulala peke yako 😛😛😛
ОтветитьHahaaaa wivu.maduhu huna lolote
ОтветитьNzuri
Ответить😭😭😭I can't help myself. hii ni ukweli wa maisha mola atustiri
ОтветитьMovie iko poa meendelezo uko wapi?
ОтветитьJulius jembe yexu
ОтветитьJulius jembe yexu
ОтветитьPatcho na Queen hatuwasikii tena sauti imepotea hapo mukiwa out muna kula
ОтветитьHemed tumekualika kwetu Congo ukuje u dance nyimbo za Lingala
ОтветитьEeeeee Erick Hamed kumbe unajua kuongea Lingala eeeee happy to hear your Lingala
ОтветитьBaba amka wende kazini I like the girl
ОтветитьErick asante kwa music na dance nime like sana
ОтветитьPatcho wewe umenimba trop
ОтветитьEti mwenyekiti naogopa kulala pekeyangu?
Ответитьipo vibya
ОтветитьMwenye kiti na mtaka mkewangu
ОтветитьNoma
ОтветитьWeka part two au ndio mmemaliza hivyo
Ответитьpart two vipi?
ОтветитьMchezo upo vizuri sana namtaka Mke wangu lkn wanawake ni mashetani sisi
ОтветитьHahhahaha eti mkiwa chenye hzi jeneza zenu mko n kiburi
ОтветитьMaduuu jaman😂😂😂😂😂😂😂😂😂
ОтветитьHii movie yaitwaje?
ОтветитьBaba Beka jomonii Mwambie laiyawako mke Achungwi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ОтветитьHuyu mtoto Wang nimemzaa mwenyewe 😂😂😂😂
ОтветитьHaha huy jamaa namkubali sana nataka mke wangu mwenyekit
ОтветитьHaha yani michezo ya zamn haish ham
ОтветитьShukurani
Ответить