MHE FREEMAN MBOWE AWEKA MAMBO SAWA MPASUKO WA CHAMA ARUSHA

MHE FREEMAN MBOWE AWEKA MAMBO SAWA MPASUKO WA CHAMA ARUSHA

Chadema Media TV

1 месяц назад

10,546 Просмотров

Ссылки и html тэги не поддерживаются


Комментарии:

@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl - 17.06.2024 09:42

Mbowe ukiharibu hicho chama Kuna watu wengi sana watakufa kwa machungu

Ответить
@stanastana3199
@stanastana3199 - 17.06.2024 10:12

Mbona mmemtenga lisuu anafanya mkutano sahii kijijini kwao tu

Ответить
@faiditv5535
@faiditv5535 - 17.06.2024 11:13

Hoja atutaki uwe mwenyekitu

Ответить
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 - 17.06.2024 12:21

Safi sana

Ответить
@sponsor7882
@sponsor7882 - 17.06.2024 13:47

Wachaga mafisadi tu

Ответить
@emmanuelymganga5737
@emmanuelymganga5737 - 17.06.2024 14:54

One love Mbowe ✌️💪

Ответить
@user-ef2ln1mx3s
@user-ef2ln1mx3s - 17.06.2024 16:21

Chadema bila mbowe kwa sasa kimekufa kwani ccm inaitaji mwenyekiti zaifu ili chama kife kama vingine nanyi viongozi wa chadema jichunge na uchochezi wa makada wa ccm ndani ya chama chenu kwani mbowe alikipigania bila kuyumba japo amepoteza mali zake na misukosuko ni kwa sababu ya nguvu na uimala wake mfano ni juzi tu msigwa na sugu mbowe anafaa kipindi iki cha kurudisha uhai wa chadema

Ответить
@eliadaudi6664
@eliadaudi6664 - 17.06.2024 16:41

Mbona lisu hayupo

Ответить
@jeanbaraka1008
@jeanbaraka1008 - 17.06.2024 16:54

President wangu kila ukiongea maneno yako uniimiza kuwa mtu sahihi kwa siasa...

Ответить
@user-nm8ym6iq7n
@user-nm8ym6iq7n - 17.06.2024 17:36

Makonda ndo kashusha nguvu ya Arusha ata Lema analijua hilo Ujio wa makonda Arusha na gia aliyoingia nayo kusikiliza kero za wananch itadididmiza sana nguv ya upinzani Arusha

Ответить
@simongwandu7392
@simongwandu7392 - 17.06.2024 19:01

Wachadema Taasisi yao

Ответить
@user-xe8xv6so6s
@user-xe8xv6so6s - 17.06.2024 21:02

Asante kamanda mbowe. Umebarikiwe
Sana isitoshe upinzani mko vizuri. Wenye kuvuruga Amani Chama tawala. Halafu anasema upinzani mnavugu. Si kweli

Ответить
@alphoncembasa592
@alphoncembasa592 - 17.06.2024 23:02

Duu

Ответить
@user-qb1jv2dy2d
@user-qb1jv2dy2d - 18.06.2024 12:05

Uongozi wa juu wa Chama unapashwa kushughulikia mambo ambayo yanaleta mgawanyiko na matengano kwenye Kanda na Kitaifa kwa ujumla wake.

Na huu ni wakati ambao umakini unahitajika sana, maana wapumbavu wa upande ule huu ndio wakati ambao huwa wanautumia kuleta mafarakano na kuanza kuwanunua wale walio virus kwenye Chama.

Ответить