Комментарии:
jaiva kuimba aujui ila interview wewe ni fundi wakusanua story kwa upana wake .
ОтветитьChino kakosea kuongea sana itamkosti kwa sababu mashabiki wa marioo watu wanaomsapoti ni rafiki wa marioo yeye katokea kwa marioo kwa kumtaja kwenye nyimbo zake marioo yeye hangekausha tu hatakosa vitu vingi unajuwa hanajiona msanii mkubwa hata hizo shoo hanazopata inawezekana zinapitia kwa marioo na yeye hanaziizinisha hira yeye hanaweza hakaona mambo yake yanaenda kumbe kuna watu nyuma wamekaa kimnya kwasabu mtu haingize hera yake kwa chino bira kupata ushawishi kutoka kwa marioo sio kweri
ОтветитьHapo kwenye choni ndo sijaelewa 😂😂😂😂😂
ОтветитьTabia mbayq mnamuonea wivu
ОтветитьHyuu ni msemaji wa mario anachokisema yeye ndo mario atasema hvyo hvyo
ОтветитьKafanya sio poa
ОтветитьJaivah! Kanena ...lakn the best way is to reconcile... and clear there diffences ...feuds na grief! sio poa sana ...as binadamu, as vijana watafutaji, as artist ambao mlikua closer ...yawekeni sawa muyamalize! ...kugombana kwetu ss binadamu ni kawaida sana ..kwaio tusiyashikilie sana haya mambo ....pia akina Chino waache mauswahili mentality cz bado wana
ОтветитьSema jaivah jaivah
ОтветитьUyo jaman anaga sifa za usanii
ОтветитьUlifanya wap iyo show
ОтветитьJaivah vile anaongea unajua kabisa kasoma ana Shule.
ОтветитьJaivah umeonesha ukumbwa wako wa umli kwa sababu ya busala zako
ОтветитьMnachosha na unafik mwingi......
ОтветитьTo me I think dogo aachwe aendelee na maisha yake kama alivyotaka cause ameshahis anajiweza kwa Kila kitu bt the bad thing it's chino kueneza ubaya kuhusu Jaivah and Marioo it's really bad to him,,,Mimi namshaur afocus kwenye music wake aache huo ushamba anaouongea kwenye media bhasi.. sema Jaivaaah Bonge la Moja la interview aisee Yuko really kinoma much respect to Jaivaaah🔥
Ответитьanajikuta sn braza nawakati chalii
ОтветитьDaaah jamaa limeongea fresh sana halaf halimbukii umaarufu anajua namna ya kucheza nao
ОтветитьOya mumemuonea sn chino bn😮
ОтветитьFanya unqchofanya elimu ya msingi sana...he sounds smart kwasababu ni msomi CBE graduate huwezi mlinganisha hata na diamond japo ana hela na exposure...mtizame anavyojieleza utaona power ya education
ОтветитьKatika maisha iyo siyo sababu mbn na Chino kawabeba sana jaivah marioo wote wanafik tu😂😂😂😂😂
ОтветитьAwa jamaa jau wanaficha makucha masnicht live
ОтветитьHuyu jamaa anachuki na Chino ukifuatilia anachoongea maana chino kwnye interview yake hakumuongelea sana jaiva kiivyo
ОтветитьIla jama kajishinda mweneyewe wew unawezaje kusema kama ulikuwa hujuwi nawakati wewe ndo ulichaguwa hata jina ya show😳😳😳
Ответитьthis guy is so smart aiseee
Ответитьnimeona jina la smart limejirudia sana vp wanangu mme left group nn wajomba
ОтветитьJaiva hana ukweli wowote nimunafiki tuuu
ОтветитьWewe sema mnataka kumushusha chino,kam umetoa jina,sasa mwenye jina anasemaje,au unajitapa tu hapa
ОтветитьKama ulitoa jina kwanini ulishusha pcha yako waongo nyieeee😅😅
ОтветитьHONGERA SANA JAIVA UNA KHEKIMA SANA BRO ❤❤❤❤
ОтветитьJaivah aah we iyo sauti unyama
ОтветитьDogo kashajulikanaaaa yule ndo kichwa kimekuwa kikubwa
Ответитьjaiva ndo mchonganishiiiii
ОтветитьJamaa anajua kujieleza
ОтветитьYan ujui kuhus show hukuambiwa na jina ulitoa wewe emb achen chuki Za kipumbavu 😂😂
ОтветитьYan ujui kuhus show hukuambiwa na jina ulitoa wewe emb achen chuki Za kipumbavu 😂😂
ОтветитьFanyen kaz achen majungu
Chinno kaishataka Mashindano
Wap COMPATION sasa...
Jaivah 💯💯
ОтветитьJAIVA❤
ОтветитьIli sijui java mbona chino ndo alikutoa kwani malioo hakukuona au kakaako haba mbwa wew unajikuta unajua kumbe mziki wenyewe hujui mbwa wew uyo malioo mwenyewe amejulikana kwaajili chino kinachowaumiza ni maendeleo ya chino kisa kapanga gorofa na kamjengea mamaake na kununua magari mnatumia na malioo atachunwa na paura na kugombanishwa na kila mtu wew kaka muongo chino ndo kakutoa huna lolote. Acheni wivu wa maendeleo malioo alitaka chino atimie usafili wa boda tu na tax kisa kapata ananchukia alitumwa na mtu achunwe na Bado mbwa nyie na pia kisa chino Kawa karibu na mondi mnaumia acheni wivu
ОтветитьChino kachoka mnayomfanyia Hamna lolote
ОтветитьUyu kajichanganya , mnafik nimnafik tu na uyu jaiva nimmoja wao
ОтветитьAhaaa chino
ОтветитьOya namskia millad Ayo... 120%.. 😂
ОтветитьJaivah he’s speaking the better truth this man he’s so intelligent while talking on this interview bless you man👊🏿❤️
ОтветитьDaaaaa kweri ubinadamu nikaz lakini mbona fresh to tim baad bila chino mnaweza ma brothers pambaneni mungu yupo na nyinyi
ОтветитьI can see Chino not lasting long in the game because the little success he has ganerned has intoxicated him and no sooner than later is gonna get into abyss
ОтветитьYaan hapo kuna vya ukwel na vya uongo hata chino kuna vitu vya uongo
ОтветитьJaivah bwana ebuuh achana na uyo dogo chino Kidd Yuko fresh bwn
Ответить