Комментарии:
Mimi cjamwelewa huyu dada kwanza muongeaji mno😜😝
ОтветитьKajeuri lakini😂
Pole Mungu atakupa mwingine,umri bado mdogo mno hata kwenye kufikiri kanafikiri kwa udogo ndo maana kameishia njia panda
Piga moyo konde Mungu atakupa mume bora
ОтветитьSubhanallah sasa ndio anahojiwa ili iwe je Duh mtihani aibu 😮😮
ОтветитьIla huyo mwanaume alie kupa mimba jau san alikuwa hakupend kbs...mm angeniambia olewa tu haina shida ndo ingekuwa mwisho wa kuwasiliana nae
ОтветитьSikuelewi jamani, nimejitaidi kusikiliza lkn namaliza tu bando langu.
ОтветитьMajibu ni hapa hapa duniani. Wewe uliingia kwenye NDOA kwa uhongo mkubwa na ukamkimbia mwenzio ulifikiria dunia itakuacha salama kweli?!.. Umevuna ulichopanda my dear. Mungu wa sasa hivi mkali sana. Tusiwatendee wengine mabaya tukifikiria mazuri yatakuja kwetu. Hayo ndio majibu ya mtihani ulioufanya my dear.
ОтветитьAnaeleza ujinga
ОтветитьShida ya wanawake atujitambui na ukiendekeza umalaya ndo shida alafu eti meanaume mwenye mapenzi ya kweli atakuluusu uolewe na mwanaume mwingine ata kwaali yyt ile atakabiliana na ww na angekuzuia ata kuolewa
ОтветитьStori ya kupika hii😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
ОтветитьMuda si mrefu tutamuona mtandaoni hapa umaarufu unasakwa
ОтветитьNi2mie namba yako ya simu nikuoe mm
ОтветитьUmezidisha tamaa
ОтветитьYaan waswahili bwana kuwaza kuozesha tu mtt wangu umri wako ndio Kwanza asoma hata hawaz kuolewa
ОтветитьPole sana mdogo wng huyo mwanaume hakukupenda mwanaume anayekupenda kweli hawez kukurusu uolewe na mume mwingine tatizoletu ss wanawake tukipenda tunakuwa vipofu hata mtu hafai tunaona anafaa sababu tu moyo umependa pole kikubwa nikumuomba mwenyezimungu atupatie waume walio sahihi na na wenye hofu juu yake
ОтветитьLikuwepukalo linakher nawe pole dada mim pia yalinitokea
ОтветитьMmh huyu ni muongo jamani stori yake haieleweki
ОтветитьPole ❤❤
ОтветитьKuolewa unalazimishwa sielewi
ОтветитьPole san
ОтветитьHuyu ni mcharuko kwa ufupi hivyo 😮
ОтветитьTukiachana na huyo mwaume alie kuoa kwa Nn uolewe na mtuu mwengine alafu upo na mimba sio yake ungekuwa Wewe mwaume ungekubari mfyuuuu kabisa
ОтветитьKila likuepukalo la na kheri na wewe. Uslazimishe jambo mungu hajakutakia ipo khery yako mbele utapata
ОтветитьKwani kinasimuliwa kitu gani hapa jamani aliyeelewa anieleweshe
ОтветитьPole sana dada tuko wengi mbona😂
ОтветитьWewe kama hujakuwa basi kuwa uyaone tuliya kwenye masiliyano kiyume native utahangaika sana kwenye dowa
ОтветитьKwani mtu mpaka sasa Kuna familia zinaoza Binti Kwa kijana bila kukubaliana na Binti anayetaka kumwoa
ОтветитьPole sana mamiy🎉🎉
ОтветитьMungu atakupa wa kheri na ww lk mara ingine usikubali kunyamazia siri kama uliongea kwa fqmily yako hayo yasingetokea ukweli hua unakuokoa ima angelazimishwa huyo bwana alieka mimba akuowe ama akuhudumie hqtq ukiwa ama mume akikuowa anajua uko na mimba sio yake hapo ulikosea kuficha hawa wanaume tunakua nao lk niwatu wabaya sanaa kumi kwa mmoja akisha kukuharibia maisha kusimama nawe
ОтветитьNa kitu kingine hii ni zinaaa hukufaa kuja kuongelea hapq sasa hqpq nikama umejiqnika nq mimba yenyewe huna hii ilifaa ujinyamazie vyenye lishatokea usingeongea hapa kuna wenye huruma wanajua hii nimitihani iko wanasahau km nawao wko na wadada ama watoto wanatoa kilmaa kibaya kikakuzidishiq uchungu mtoto akikosea kumchapq sio suluhisho ila kumlekeza njia ilio sahii maneno mabaya hayqfai
ОтветитьHakuna ridhiki Yako uyo tulia utapata wa kwako
ОтветитьHi❤❤
ОтветитьNasiha kwa wadada wote musikuwe munaiminiya kila mtu na wala jistirini mwili wenu mupaka kupata rizki yako ya kuolewa
ОтветитьUyo unakuwaga nimkosi akasafishe nyota yake tena
ОтветитьUyu ni mrangi
ОтветитьMe naona wote hamkupendana?? Kwamana mgekuwa mnapendana wala huyo mchumba wako asingekubali wewe ukaolewe na mtu mwingine pia hata wewe usingekubali kuolewa na mtu mwingine tena ukiwa na mimba ya mtu ambaye unamjua vzr ungengangania kwenda naye huku aliko enda??
ОтветитьAliona aibu ndy maana alikubali kuolew maana sisi warangi kuzaa njee ya ndoa ni aibu sana
ОтветитьKwahy hyo mimba iko wapi
ОтветитьKm ni kweli mbona hamuwaojigi wanaume waliowak8mbia km sio mnapanga kipindi
ОтветитьDaah jmn yamekukuta kama ya kwang daah!! Ina uma san jmn jmn
ОтветитьUnge msikiliza huenda ana kitu Cha kuku ambiy ila kiukwel Ina uma san😭😭😭😢
ОтветитьPole san kipnz p❤❤❤
ОтветитьAcha uongo mtoto
ОтветитьKwanza ukimfatilia vzr hyu bint co mzima hakuna mke hapa
ОтветитьUlishatombwa hyo siku hotelin mbona husimulii
ОтветитьPole sana dada
ОтветитьUyu Binti .kama yuko na tatizo hayupo sawa..unawezaje kuolewa na uko na mimba ya mtu mwingine whay usisuburi ujifungue kwanza then kama itatokea bahati ingine uolewe dada uko na kosa..
ОтветитьKwani nyie waadishi wa habari huwa manakosa watu wa kiwahoji jama tafuteni kunawatu wanashida sanaa ambao wanahitaji msaada wenu na watanzani kwa ujumula
Ответить