UTACHEKA MWANZO MWISHO DOTTO MAGARI ALIVYO MZODOA MWIJAKU KESI YA BILION 5 KUMLIPA MASOUD KIPANYA.

UTACHEKA MWANZO MWISHO DOTTO MAGARI ALIVYO MZODOA MWIJAKU KESI YA BILION 5 KUMLIPA MASOUD KIPANYA.

BONGO 24

1 месяц назад

23,261 Просмотров

Ссылки и html тэги не поддерживаются


Комментарии:

@Mohd-wl1tc
@Mohd-wl1tc - 17.06.2024 12:49

Doto unaongea na tv 📺 ten

Ответить
@amotvtz1302
@amotvtz1302 - 17.06.2024 12:56

Alipe fidia maana amezidi kuzalilisha watu

Ответить
@patrickimran2645
@patrickimran2645 - 17.06.2024 13:27

Dotttoooò

Ответить
@patrickimran2645
@patrickimran2645 - 17.06.2024 13:28

Mungu sio asmani yamemkuta eti weeye maisha yako kama ya puppies zake iliniumaaaaaaaa

Ответить
@patrickimran2645
@patrickimran2645 - 17.06.2024 13:28

Nacheka kibuli yake

Ответить
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 - 17.06.2024 13:30

Khaaa...Ila Dotto khaa eti MASUDI Kipanya yupo Tangu 9 Disemba anachora Vikatuni...😂😂😂

Ответить
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 - 17.06.2024 13:37

Mwijaku kamdhalilisha sana menina na akashinfa mahakamani Kwa udhalilishaji masoud kaka mpeleke mahakamani huyu nyau ashike adabu yake

Ответить
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 - 17.06.2024 13:43

😂😂😂😂😂😂dadekiii kaingia pabayaaa pumbaav

Ответить
@jumabuckary7698
@jumabuckary7698 - 17.06.2024 13:57

Kayatimba huyo bwege, masoud kp ni legend hapa tanzania kitambo kuliko wewe mshamba wakuja mwaijaku

Ответить
@amirkhamis3820
@amirkhamis3820 - 17.06.2024 14:03

Mwijaku ana zarau sana .
Nadhani hilo lililomkuta ni moja kati ya mafunzo ambayo anatakiwa ayapate.
Jambo lililonikera zaidi kwenye upuuzi wake ni pale aliposema kwamba chakula cha mbwa wake ndo maisha yetu cc wengine. Aisee ameniudhi sana .
Alafu nataka niulize kwani mwijaku ni muislamu au ni nani simuelewi mm.
Eti expensive life mkewake anatembea uchi mwisilamu gan huyo.

Ответить
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 - 17.06.2024 14:18

Dotto 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Ответить
@samkitwima7933
@samkitwima7933 - 17.06.2024 14:53

Kwa mara ya kwanza huyu Dotto Magari amenifurahisha😂😂😂😂😂😂😂😂

Ответить
@user-fr4qm2ub2d
@user-fr4qm2ub2d - 17.06.2024 15:08

Hahahah daah dg msameheni jaman

Ответить
@Esquire266
@Esquire266 - 17.06.2024 15:21

Mheshimu Alhaji Mwijaku

Ответить
@DamianMazengo
@DamianMazengo - 17.06.2024 15:23

amejifunza atatengeneza breck za mdomo wake maana zilikua zimefer kabisa

Ответить
@ChrisMwambeje
@ChrisMwambeje - 17.06.2024 15:27

😂😂😂😂 nakubali dotto,huyo yamemkuta

Ответить
@YakoboSimon-wr7ru
@YakoboSimon-wr7ru - 17.06.2024 15:48

Nyie nmecheka saaan 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 ongea kilichokuleta😂😂😂

Ответить
@gabapentin8070
@gabapentin8070 - 17.06.2024 17:12

😂😂😂😂

Ответить
@user-sz1lw9kq5s
@user-sz1lw9kq5s - 17.06.2024 17:27

😂😂😂😂

Ответить
@Kibudu
@Kibudu - 17.06.2024 18:40

Kwann anaomb msamaha huku anarejea kosa,,, hapo soln ni court ajulikane mkweli.

Ответить
@user-wu7ou4ns4j
@user-wu7ou4ns4j - 17.06.2024 19:30

Aende jela tu
Maskini mwi
Umekuwa mpole

Ответить
@edwardriwa1995
@edwardriwa1995 - 17.06.2024 20:27

Alipomaanisha Content sasa😂😂

Ответить
@peninashungu6633
@peninashungu6633 - 17.06.2024 20:30

Kesi iende tu mahakaman amezoea huyo kila wakat anawatusi watu alafu anaomba radhi ikawa akageuzwe mfano tu uko mahakan, wanatumia kujuana na mama Samia ndo sababu ya kuwadhalilisha watu, akatoe tu iyo B5

Ответить
@ramamasenda6637
@ramamasenda6637 - 17.06.2024 20:42

Mwijaku limbukeni apelekwe mahakamani tu akalipe fidia ili akome tabia yake yakijinga ikibidi afungwe ata miezi Cita achapiwe mkewe vizuri

Ответить
@MbongoBoy-yg9tq
@MbongoBoy-yg9tq - 17.06.2024 21:16

Doto bwaaana👍

Ответить
@luqmanmohamedy3860
@luqmanmohamedy3860 - 17.06.2024 21:35

Hahahahaha

Ответить
@AmirAbdallah-pr4uq
@AmirAbdallah-pr4uq - 17.06.2024 21:52

Niwe muwazi Dotto magari nakukubali sana kaka

Ответить
@user-ef7tc3tq7w
@user-ef7tc3tq7w - 17.06.2024 21:59

Mwijaku fala anawamukia watoto kisa pesa

Ответить
@FrankLutemela
@FrankLutemela - 17.06.2024 22:00

Amepoaa

Ответить
@karimacro
@karimacro - 17.06.2024 22:38

😂😂😂😂😂😂

Ответить
@ShangweSylus-nf6we
@ShangweSylus-nf6we - 17.06.2024 23:46

Duh Dotto😂😂😂

Ответить
@law93king
@law93king - 18.06.2024 02:31

daaaaaah😂😂😂

Ответить
@PedroMaumo-eq8kc
@PedroMaumo-eq8kc - 18.06.2024 06:33

Control your emotions mwijaku

Ответить
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 - 18.06.2024 08:30

Sasa si unyamanze doto tumsikilize Mwijaku.

Ответить
@NyandaMakambuya
@NyandaMakambuya - 18.06.2024 09:09

Hahaha😂😂

Ответить
@florayoram9563
@florayoram9563 - 18.06.2024 09:46

😂😂😂😂😂 ukicheka na nyani lazina uingie nae msikitini mlimchekea sana huyo mmbea wa maisha ya watu kwa sisi tukio soma cuba hajamsema masud peke yake ameikashifu tasnia yote ya clouds na mmiliki wake😂

Ответить
@pikipiki_market
@pikipiki_market - 18.06.2024 10:18

Hahahha kwel kaka sio pw

Ответить
@ommylax7231
@ommylax7231 - 18.06.2024 10:54

Vita vya Panzi furaha kwa kunguru 😂daaah nimeamini

Ответить
@driss4957
@driss4957 - 19.06.2024 00:58

KAYAKANYAGA KWA KIPANYA,MTU KAWACHORA KINA MKAPA,SUMAYE,MREMA,DITOPILE MZUZURI, HALAFU HUYU WA KUJA KUTOKA BUKAVU" ANAJIFANYA ANAMJUA...KIPANYA WA KIMJI TOKA ENZI ZA KINA CISCO MTIRO"...Uchaguzi WA TMK 96.

Ответить
@KhadijaSelemani-wt8np
@KhadijaSelemani-wt8np - 19.06.2024 01:32

nimeamini ule usemi wa malipo hapa hapa duniani ,,hasa nikikumbuka alivyokamdhalilisha menina

Ответить
@stephenmasha8623
@stephenmasha8623 - 19.06.2024 11:50

😂😂😂 Eeti Bundi 😂

Ответить
@Islamawadh
@Islamawadh - 19.06.2024 13:22

Ameyatimba 😂

Ответить
@mvitahamad2126
@mvitahamad2126 - 19.06.2024 19:44

Kwan ww doto ulishakosea wangap

Ответить
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 - 20.06.2024 23:22

😂😂😅😂😅eti jitu jinga.linaharibu umeme

Ответить
@user-do2qp5fv9b
@user-do2qp5fv9b - 23.06.2024 23:47

Yaani doto amenichekesha sana duu

Ответить
@IddSaid-gu2kt
@IddSaid-gu2kt - 24.06.2024 20:03

Bro wako wengi kama hao

Ответить
@petermokami2273
@petermokami2273 - 04.07.2024 16:32

Anachora vikatuni, sio kukuchora wewe kichwa box

Ответить
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry - 05.07.2024 23:47

😂😂😂

Ответить
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry - 05.07.2024 23:51

Yaani Doto nakupenda bure tu mwanangu naona raha kweli kukusikiliza nacheka mpaka.

Ответить