Комментарии:
Doto unaongea na tv 📺 ten
ОтветитьAlipe fidia maana amezidi kuzalilisha watu
ОтветитьDotttoooò
ОтветитьMungu sio asmani yamemkuta eti weeye maisha yako kama ya puppies zake iliniumaaaaaaaa
ОтветитьNacheka kibuli yake
ОтветитьKhaaa...Ila Dotto khaa eti MASUDI Kipanya yupo Tangu 9 Disemba anachora Vikatuni...😂😂😂
ОтветитьMwijaku kamdhalilisha sana menina na akashinfa mahakamani Kwa udhalilishaji masoud kaka mpeleke mahakamani huyu nyau ashike adabu yake
Ответить😂😂😂😂😂😂dadekiii kaingia pabayaaa pumbaav
ОтветитьKayatimba huyo bwege, masoud kp ni legend hapa tanzania kitambo kuliko wewe mshamba wakuja mwaijaku
ОтветитьMwijaku ana zarau sana .
Nadhani hilo lililomkuta ni moja kati ya mafunzo ambayo anatakiwa ayapate.
Jambo lililonikera zaidi kwenye upuuzi wake ni pale aliposema kwamba chakula cha mbwa wake ndo maisha yetu cc wengine. Aisee ameniudhi sana .
Alafu nataka niulize kwani mwijaku ni muislamu au ni nani simuelewi mm.
Eti expensive life mkewake anatembea uchi mwisilamu gan huyo.
Dotto 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
ОтветитьKwa mara ya kwanza huyu Dotto Magari amenifurahisha😂😂😂😂😂😂😂😂
ОтветитьHahahah daah dg msameheni jaman
ОтветитьMheshimu Alhaji Mwijaku
Ответитьamejifunza atatengeneza breck za mdomo wake maana zilikua zimefer kabisa
Ответить😂😂😂😂 nakubali dotto,huyo yamemkuta
ОтветитьNyie nmecheka saaan 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 ongea kilichokuleta😂😂😂
Ответить😂😂😂😂
Ответить😂😂😂😂
ОтветитьKwann anaomb msamaha huku anarejea kosa,,, hapo soln ni court ajulikane mkweli.
ОтветитьAende jela tu
Maskini mwi
Umekuwa mpole
Alipomaanisha Content sasa😂😂
ОтветитьKesi iende tu mahakaman amezoea huyo kila wakat anawatusi watu alafu anaomba radhi ikawa akageuzwe mfano tu uko mahakan, wanatumia kujuana na mama Samia ndo sababu ya kuwadhalilisha watu, akatoe tu iyo B5
ОтветитьMwijaku limbukeni apelekwe mahakamani tu akalipe fidia ili akome tabia yake yakijinga ikibidi afungwe ata miezi Cita achapiwe mkewe vizuri
ОтветитьDoto bwaaana👍
ОтветитьHahahahaha
ОтветитьNiwe muwazi Dotto magari nakukubali sana kaka
ОтветитьMwijaku fala anawamukia watoto kisa pesa
ОтветитьAmepoaa
Ответить😂😂😂😂😂😂
ОтветитьDuh Dotto😂😂😂
Ответитьdaaaaaah😂😂😂
ОтветитьControl your emotions mwijaku
ОтветитьSasa si unyamanze doto tumsikilize Mwijaku.
ОтветитьHahaha😂😂
Ответить😂😂😂😂😂 ukicheka na nyani lazina uingie nae msikitini mlimchekea sana huyo mmbea wa maisha ya watu kwa sisi tukio soma cuba hajamsema masud peke yake ameikashifu tasnia yote ya clouds na mmiliki wake😂
ОтветитьHahahha kwel kaka sio pw
ОтветитьVita vya Panzi furaha kwa kunguru 😂daaah nimeamini
ОтветитьKAYAKANYAGA KWA KIPANYA,MTU KAWACHORA KINA MKAPA,SUMAYE,MREMA,DITOPILE MZUZURI, HALAFU HUYU WA KUJA KUTOKA BUKAVU" ANAJIFANYA ANAMJUA...KIPANYA WA KIMJI TOKA ENZI ZA KINA CISCO MTIRO"...Uchaguzi WA TMK 96.
Ответитьnimeamini ule usemi wa malipo hapa hapa duniani ,,hasa nikikumbuka alivyokamdhalilisha menina
Ответить😂😂😂 Eeti Bundi 😂
ОтветитьAmeyatimba 😂
ОтветитьKwan ww doto ulishakosea wangap
Ответить😂😂😅😂😅eti jitu jinga.linaharibu umeme
ОтветитьYaani doto amenichekesha sana duu
ОтветитьBro wako wengi kama hao
ОтветитьAnachora vikatuni, sio kukuchora wewe kichwa box
Ответить😂😂😂
ОтветитьYaani Doto nakupenda bure tu mwanangu naona raha kweli kukusikiliza nacheka mpaka.
Ответить