Комментарии:
Asalam aley Kum.dr hizo ndio anga zako
ОтветитьAsalam aley Kum.dr hizo ndio anga zako
ОтветитьWaalaykumu ssalaam. Warahmatullahi wabarakatuh
ОтветитьMashallah
ОтветитьMashaallah, hii historia ya Masjid aqsa naona ni vema ukaitengenezea kitabu mwalimu.
ОтветитьMashallah kana
ОтветитьMashaAllah
ОтветитьDaah
ОтветитьWaislam awapendani sikuizi tunanzaje kupigana nao tuanze kupendane kwanza
ОтветитьJadilianeni na watu wa dini zilizotangulia alafu happyhapo unasema uislam. Ndio dini ya kwanza aliyokua nayo Adam huu ni wehu!!!
ОтветитьBeit maqdis. ni mali ya wayahudi, neno lenyewe ni la kiyahudi likimaanisha nyumba takatifu, waislam acheni, kuwafanyia fujo wayahudi taifa takatifu
ОтветитьAsalaam'aleikum wahmatullah wabarakat
Mwenyew namba za dr sulle naomba anisaidie nashida nae
Waleikum salam Warahmatullaah
ОтветитьMashaAllah doctr sule Allah akulinde na kukuhifadhi uendelee kutufunza dini yetu ilo ndzuri duniani.
ОтветитьUnaona ulivo yamboroga hapo kama mungu anmwambia muhamadi wajadiliane na dini zilizo watagulia Sasa hapo itakuwaje walikuwa waisiramu
ОтветитьMimi nina ombi nataka kupata dua yako nafikaje seemu usika maana sipajui. Naotwa Michael naishi Mikocheni A
ОтветитьRafiki Sule, mbona hujui historia yoyote halafu ATI wajiita Dr !. Hujui huo msikiti au helalu ( maqdis) ambalo unadai mtume wako Muhammad alienda Jerusalem kwa kutumia punda usiku, kua halikiwepo kopindi Cha mtume wako !?, Lilibomolewa tangu karne ya kwanza, usipende kuongea jambo bila kwenda shule, unadhalilisha usilamu na unafanya uonekane una watu mbumbumbu wakati una wasomi mpaka ulaya. Pili, palestina haikuwepo kopindi Cha Yesu wala Cha Musa, na kwa mujibu wa Allah wako ( unayemuabudu), kadhibitisha wazi kabisa kua Ile ni ardhi au ni Mali ya wayahidi ( soma Quran 5:21). Tatu, eheo Hilo unalodai ni palestina, lilivamiwa na kukaliwa na wafilisti, na baaadae ukawa kama mji, hadi hapo wakina Umar ibn khattab who alipovamia kwa upanga na kuusimisha uislamu, sasa ujue kua Ishmael na waarabu hawana uhusiano wowote, plse go back to school.
ОтветитьMwenyezi mungu akitaka ametaka
ОтветитьMashaallah
Ответить