Комментарии:
Mungu ni mwema
ОтветитьAmen
ОтветитьNabii wa yesu hana tamaa na vitu vya kidunian i belief in jesus
ОтветитьNaomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari zikuwe famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule tupate ada Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏 naomba nipate kibali kama cha baba baba
ОтветитьMtumishi Mbarikiwa 🙏
ОтветитьTuendelee kuutafuta uso wa Mungu atuonyeshe njia sahh ya kupita
ОтветитьNami naomba familia yangu ifunguliwe
ОтветитьNa mm nakuja Mungu wangu mambo yenyewe ndio hayo uwiiiii
ОтветитьFremason hakuna chochote now nyimbo zake zinamsifu shetani
ОтветитьUbarikiwe kwa huduma by phone record nyumbigwa one
ОтветитьAdiely
ОтветитьAmeeen 🙏
ОтветитьGlory to God❤
ОтветитьNaaam...
Inapendeza sana
Halafu wewe unaye wakosoa watumish usije kwenye people ya goodlaki ukakosowa utalaniwa
ОтветитьSapot me my brother
ОтветитьKampoteza tayari😢😢
ОтветитьAhimidiwe Mungu Baba anayetupa kushinda na zaidi ya kushinda, katika hayo tunapokea amani ya kweli.
Asante Kwa shuhuda hizi kutoka Gudluck Gozbert mwimbaji na Nabii mkuu 🙏🙏
Nendeni mkauliwe vipaji kisa pesa
ОтветитьDaa ukiamini neno la mungu ujuwe mungu atakuangalia TU hawezi kukuacha tu hivihivi Kam mm naomba mungu anijalie tu nipone hay magonjwa
ОтветитьMungu utusahehe
ОтветитьWatu mnaabudu mwanadamu ama kweli mungu atusamehe
ОтветитьAksanti
ОтветитьAmen
Ответить.
ОтветитьAshukuliwe mungu kwayote anayotenda mungu amubaliki nabii kwakujitoa jaman wakati ukifika hakuna wakuzuuia baraka zatu
ОтветитьJmn Kuna ndoto niliota mtu ananielezea kua japo Kuna wimbi kubwa la manabii wa uongo lakini manabii wakweli wapo na Mungu amewatunza.
ОтветитьEven me I love this man anaimba ukweli Mungu akubariki
ОтветитьJoy comes in the morning😭😭... I am blessed and its not in vain to serve God, Goodluck God has remembered you and I partake in this favor from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
ОтветитьGod bless you
Ответить🙏🙏🙏🙏
ОтветитьHuyu nabii ni hatari sana, Mungu akubariki sana mzee
ОтветитьDah , uyu gozbet toka ameanza kuimba sijawai ona sura ya utukufu mbele za Mungu ,mapoz yake ya kike kwenye nyimbo zake,nikajua huyu hayupo kweli
ОтветитьUlimi n kalamu ....nakumbuka kwa video moja yke alirudi nyumbani na baraka za gari na kazi
ОтветитьWanadamu bhana...akija anae toa magari na zawadii...wanasema hii ni mitego , akija anaesema ili akuombee peleka sadaka wanasema huyu ni njaa na pesa ndio imemleta....mnataka nn, kikubwa akikisha unachokituhumu ni roho wa Mungu kakuambia laa sivyo utakuja utukane walio wa Mungu kwa ujinga wako.
ОтветитьKuna ndugu yangu, amesali hapo miaka 13 sasa, hana hata uwezo wa kulipa chumba anayoishi, anaishi kwa tabu, kwann hizo zawadi zinakwenda kwa watu maalum tu kuna kitu nyuma ya pazia
ОтветитьPia yangu itajibiwa in jesus name
ОтветитьGod is good all time
ОтветитьGodluck kuwa mskini sana na hawa wahubiri hakunaga vya bureee broo
Ответитьhuyu nabii target lake ni kuharibu kazi ya Mungu kwa kukamata vijana yaan nguvukazi!!
na kuwapeleka kwenye ufalme wa kishetani! wahitaji wapo wengi sana!!
soma maandiko vzr unafanya haya ili uonekane na watu, umekwisha hesabiwa haki yako mbinguni maana umekuwa mnafiki,!
sawa na mtu anaefunga halafu anajilegeza kwa njaa ili aonekane na watu hakika huyu mtu atakuwa ameshinda na njaa tu na dhambi juu
wewe saidzein kama uislam ndio mpango wa Mungu kaa huko!'na utende mema yakufikishe mbinguni au na uendelee kuchinja watu ili uingie mbinguni kazi kuhukumu tu!! chuki mbaya!!!!
ukristo unakuhusu nini?????????
Nabiii barikiwa kabisaaa
ОтветитьMtumishi wa mungu nitamkie baraka maishani mwangu naomba nimendika wimbo lakini Sina mbele wala nyuma our family hawana anything kindly nitamkie baraka
Ответитьnime falijika sana kaz ya wimbo zako kat ya moja wapo naona ume jibiwa leo bila kutegemea mungu ni mwema
ОтветитьWatu kama.huyu Nabii, we neep the servant of God like you into my own town BUKAVU
ОтветитьGod is good all time...❤
ОтветитьHakuna machozi asio jibiwa ❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮Mungu nimwema....
Ответить